Header Ads

ad

Breaking News

Balozi wa Msumbiji amuaga Rais wa Zanzibar Dk. Shein


                                 dr1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Mhe,Vicente Mebunia Veloso alipofika
 Ikulu Mjini Zanzibar leo kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi,([Picha na Ikulu.]
dr2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed 
Shein akizungumza na Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Mhe,Vicente Mebunia 
Veloso alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kumuaga baada ya kumaliza muda wake 
wa kazi,([Picha na Ikulu.]
dr3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akifuatana na Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Mhe,Vicente Mebunia Veloso baada ya mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais,([Picha na Ikulu.]

No comments