Waliopeta CCM ubunge 2015 hawa hapa na majimbo yao
John Banda, Dodoma
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemaliza mchakato wa uteuzi wa wabunge na wawakilishi wa majimbo na viti maalum huku baadhi ya majimbo yatarudia uchaguzi wake.
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Katibu wa NEC itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema kuwa kuna baadhi ya majimbo ambayo yalionekana kuwa na dosari wakati wa kura za maoni hivyo uchaguzi urtarudiwa na mengine kura kuhakikiwa.
Alisema kuwa majimbo ambayo yatarudia uchaguzi ni pamoja na jimbo la Ukonga,Kilolo,Rufiji, Busega na Mbinga Vijijini ambapo watarudia uchaguzi katika kata mbili.
Alisema kuwa katika majimbo mengine ambayo yatahakikiwa kura ni pamoja na Makete, kiteto, Njombe kusini, Chilonwa, Namtumbo huku jimbo la Singida mashariki ambalo awali ilionekana uchaguzi wake utarudiwa lakini alieleza kuwa viongozi wa jimbo hilo wanaendelea na mazungumzo na ngazi ya , Taifa a,bapo bado haijafahamika kuwa watarudia uchaguzi au watahakiki kura.
Hata hivyo Nape alieleza kuwa sababu za kurudia au kuhakiki kura katika majimbo hayo zilikuwa zinatofautiana kwani kwa baadhi ya majimbo mgombea alikuwa na matokeo yake,ambayo yalikuwa yanatofautiana na matokeo ambayo chama ilikuwa imepewa.
“Hapa siwezi kusema kuwa dosari zilizojitokeza katika majimbo hayo ni zipi ila tu nisema kuwa kulikuwa huenda kulikuwa na uchakachuaji ambao ulikuwa unafanyika njiani kwani utakuta mgombea alikuwa na matokeo yake lakini akifika kwenye chama anakuta matokeo yapo tofauti nayale ya awali.”alisema
Alisema kuwa kila jimbo litafanya uchaguzi au uhakiki wa kura zake kutokana na mazingira ya eneo husika lakini uteuzi wa mwisho wa wagombea hao itakuwa ni Agost,17 mwaka huu ambapo kamati kuu ndiyo itayohusika na uteuzi huo.
Hata hivyo alieleza kuwa katika harakati hizo za kurudia uchaguzi au kuhakiki kura watajitahidi kuongeza nguvu katika eneo husika kutoka wilaya za jirani, ngazi ya mkoa na wakiona kuwa haitoshio watalazimika kuongeza nguvu kutoka ngazi ya Taifa lengo likiwa ni kuona haki inatendeka.
“Tumelazimika kufanya hivyo kama chama kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi kuwa baadhi ya wasimamizi ambao walionekana kuwa hawakutenda haki kwa wagombea, lakini tunaamini kwa nguvu hiyo tuliyoiongeza tunaamini kuwa dosari zilizojitokeza awali hazitajitokeza tena.”alisema pia
Akizungumzia uteuzi mzima wa wabunge hao akianza na Mkoa wa Arusha Mjini, jimbo la Arusha Mjini, aliyeteuliwa ni ,Philemon Mollel,Karatu Dkt, Wilbard Slaa Lorr, Arumeru Magharibi, Loy Thomas ole Sabaya,Arumeru Mashariki, John Danielson Sakaya (JD),Longido Longido Dkt. Stephen Lemomo Kiruswa,Monduli Monduli Ndugu Namelock Edward Sokoine, Ngorongoro William Tate ole Nasha.
Mkoa wa Dar es Salaam alisema kuwa walioteuliwa kuwa ni pamoja na mbunge wa jimbo la Ilala Zungu Mussa Azzan,Segerea Bonna Mosse Kaluwa,Temeke Abasi Zuberi Mtemvu ,Kigamboni Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile,Mbagala Issa Ally A. Mangungu ,Kinondon,Kawae Kippi Ivor Warioba ,Ubungo Dkt. Didas John Masaburi,Kibamba Dkt. Fenela E. Mkangala,Kinondoni Iddi Azzan.
3Kwa upande wa Mkoa wa Dodoma jimbo la Chemba Juma Selemani Nkamia ambaye ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo ametuliwa,Bahi Omar Ahmed Badwel,Mpwapwa Kibakwe George Boniface Simbachawene Waziri wa Niashati na Madini,Mpwapwa George Malima Lubeleje,Mtera Livingstone Joseph Lusinde,Dodoma Mjini Antony Peter Mavunde,Kongwa Kongwa Job Ndugai mbaye alikuwa Naibu Spika,Kondoa Sanda Edwin,Kondoa Vijijini Dkt. Ashatu Kijaji.
Mkoa wa Geita Jimbo la Geita Mjini Costantine John Kanyansu,Geita Vijijini Joseph Lwinza Kasheku,Busanda Lolensia Masele Bukwimba,Mbogwe Augustino Manyanda Massele,Bukombe Doitto Mashaka Biteko,Chato Dkt. Medard Matogolo Kalemani,Nyangwale Hussein Nassor Amar
Mkoa wa Iringa Iringa Mjini Mwakalebela Fredrick Wilfred,Iringa Vijijini Isimani William Vangimembe Lukuvi,Kalenga Godfrey William Mgimwa, Mufindi Kaskazini Mahmoud Hassan Mgimwa,Mufindi Kusini Mendrad Lutengano Kigola,Mafinga Mjini Cosato David Chumi.
Mkoa wa Kagera Bukoba Mjini Balozi Khamis Sued Kagasheki, Bukoba Vijijini Jasson Samson Rweikiza,Biharamulo Osca Rwegasira Mkassa, Karagwe,Innocent Luugha Bashungwa Kyerwa Innocent Sebba, Bilakwate Muleba Kaskazini Charles John Mwijage Muleba Kusini Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka,Misenyi Nkenge Diodorus Buberwa Kamala, Ngara Alex Raphael Gashaza.
Katika Mkoa wa Katavi Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Simon Kapufi, Mpanda Vijijini Moshi Selemani Kakoso, Mlele Katavi Issack Aloyce Kamwele, Nsimbo Richard Philip Mbogo , Kavuu Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe.
Kwa ipande wa mkoa wa Kigoma Jimbo la Kakonko Buyungu Eng. Christopher K. Chiza, Kibondo Muhambwe Eng. Atashasta Nditye, Kasulu Mjini Daniel Nsanzugwanko, Kasulu Vijijini Augustino Vuma Holle,Buhigwe Manyovu, Albert Obama Ntabaliba, Kigoma Mjini Amani Walid Kabourou,Kigoma Kaskazini Peter Joseph Serukamba, Uvinza Kigoma Kusini Hasna Sudi Mwilima.
Kwa Mkoa wa Kilimanjaro jimbo la Hai Danstan Lucas Mallya,Siha Aggrey Deaidile Mwanri, Moshi Mjini Moshi Mjini Mosha Davis Elisa, Mwanga Profesa Jumanne A. Maghembe, Same Mashiriki Anne Kilango Malecela, Same Magharibi David Mathayo David, Moshi Vijijini Dkt. Cyril August Chami,Vunjo Innocent Melleck Shirima, Rombo Sanje Samora Colman.
Mkoa wa Lindi jimbo la Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa, Liwale Liwale Faith Mohamed Mitambo,Nachingwea Hassan Elias Masala,Lindi Vijijini Mtama Nape Moses Nnauye, Mchinga Said Mohamed Mtanda , Lindi Mjini Hassan Seleman Kaunje, Kilwa Kusini Hasnain Gulamabas Dewji,Kilwa Kaskazini Murtaza Ally Mangungu.
Mkoa wa Mara jimbo la Bunda Mjini Steven Masatu Wasira
,Mwibara Kangi Alphaxard Lugola, Bunda Vijijini Boniface Mwita Getere,Tarime Christopher Ryoba Kangoye,Tarime Mjini Michael Mwita Kembaki ,Serengeti Dkt. Steven Kebwe Kebwe, Butiama Butiama Nimrod Elirehemah Mkono, Butiama Vijijini Prof. Sospeter Mwinjarubi Muhongo, Rorya Lameck Okambo Airo,Musoma Mjini Vedastus Mathayo Manyinyi.
Mkoa wa Manyara Jimbo la Babati Mjini Kisyeri Chambiri, Babati Vijijini Jittu Vrajilal Son, Hanang’ Dkt. Mary Michael Nagu, Mbulu Mjini Zacharia Paulo Issaay, Mbulu Vijijini Fratei Gregory Massay, Simanjiro Simanjiro Christopher Olonyhokie Ole Sendeka.
Mkoa wa Mbeya Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala Mwalyego, Mbeya Vijijini Oran M. Njeza, Mbarali Mbarali , Haroon Mullah Pirmohamed, Rungwe Sauli Henry Amon,Busokelo Ndugu Atupele Fredy Mwakibete, Ileje Janeth Zebedayo Mbene, Mbozi Weston Godfrey Zambi,Vwawa Ngailonga Josephat Kasunga, Momba Luca Jelas Siyame,Tunduma Frank Mastara Sichalwe,Chunya Lupa Victor Mwambalaswa, Songwe Philip A. Mulugo, Kyela Dkt. Harrison George Mwakyembe.
Mkoa wa Morogoro jimbo la Morogoro Mjini Ndugu Abood Mohamed Abdul Aziz Morogoro Vijijini Morogoro Kusini Prosper Joseph Mbena, Morogoro Kusini Mashariki Omar Tibweta Mgumba, Gairo Ahmed Shabiby Mvomero Suleiman Ahmed Saddiq ,Mikumi Jones Estomih Nkya,Kilombero Abubakar Damian Asenga, Mlimba Godwin Emmanuel Kunambi Ulanga Ulanga Mashariki Celina Ompeshi Kombani, Ulanga Magharibi Dkt. Hadji Mponda Kilosa Kilosa Ndugu Mbaraka Salum Bawazir.
Mkoa wa Mtwara jimbo la Mtwara Mjini Ndugu Hasnen Mohamed Murji, Nanyamba Ndugu Abdallah Dadi Chikota, Mtwara Vijijini Hawa Abdulhaman Ghasia
,Tandahimba Shaibu Salum Likumbo,Newala Newala Mjini George Huruma Mkuchika,Newala Vijijini Rashid Ajali Akbar, Nanyumbu William Dua Mkurua,Masasi Ndanda Mariam Reuben Kasembe, Masasi Chuachua Mohamed Rashid,Lulindi Jerome Dismas Bwanausi.
Kwa upande wa Mwanza Jimbo la Ilemela Angelina Sylvester Lubala Mabula, Nyamagana Stanslaus S. Mabula,Kwimba Mansoor Shanif Hiran,Sumve Richard Maganga Ndassa,Misungwi Charles Mhangwa Kitwanga, Magu Boniventura Desdery Kiswaga, Sengerema William Mganga Ngeleja,Buchosa Dkt. Charles John Tzeba, Ukerewe Christopher Nyandiga.
Mkoa waNjombe jimbo la Njombe Kaskazini Joram Hongoli , Makambako Deo Kasenytenbda Sanga Wanging’ombe Gerson Hosea Lwenge,Ludewa Deo Filikunjombe
Mkoa wa Pwani jimbo la Bagamoyo Dkt. Shukuru Kawambwa,Chalinze Ridhiwani J. Kikwete,Kibaha Mjini Sylvester Francis Koka,Kibaha Vijijini Hamoud Abuu Jumaa ,Kisarawe Selemani Said Jaffo , Mafia Mbaraka K. Dau, Mkuranga Abdallah H. Ulega,Kibiti Ally Seif Ungando.
Mkoa wa Rukwa jimbo la Sumbawanga Mjini Aeshi Khalfan Hilaly, Nkansi Kaskazini Ally Mohamed Kessy, Nkansi Kusini Deuderit John Mipata,Sumbawanga Vijijini Kwela Ignas Aloyce Malocha, Kalambo Josephat Sinkamba Kandege.
Kwa upande wa Mkoa Ruvuma jimbo la Songea Mjini Leonidas Tutubert Gama, Nyasa Eng. Stella Martin Manyanya, Tunduru Kaskazini Ramo Matala Makani,Tunduru Kusini Daimu Iddi Mpakate,jimbola Peramiho Jenister Joakim Mhagama,Madaba Joseph Kisito Mhagama ,Mbinga Mjini Sixtus Raphael Mapunda
Mkoa wa Simiyu jimbo la Bariadi Magharibi Andrew John Chenge, Itilima Bariadi Mashariki (Itilima) Njalu Daudi Silanga, Meatu Salum Khamis Salumu,Kisesa Luhanga Joelson Mpina,Maswa Mashariki Stanslaus Haroun Nyongo Maswa Magharibi Mashimba Mashauri Ndaki.
Mkoa wa Singida jimbo la Singida Mjini Ramadhani Sima
,Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu,Mkalama Iramba Mashariki Joseph Allan Kiula, Iramba Magharibi Mwigulu Lamech Nchemba, Manyoni Magharibi Yahya Omari Masare,Manyoni Mashariki Daniel Edward Mtuka, Singida Magharibi Elibariki Emmanuel Kingu .
Mkoa wa Shinyanga jimbo la Shinyanga Mjini Steven Masele, Shinyanga Vijijini Solwa Ahmed Ally Salum, Kishapu Suleiman Masoud Nchambi, Kahama Msalala Ezekiel Magolyo Maige,Ushetu Elias John Kwandikwa Kahama Mjini Kishimba Jumanne Kibera.
Mkoa wa Tabora jimbo la Tabora Mjini Emmanuel Mwakasaka, Uyui Igalula Ntimizi Rashidi Mussa ,Kaskazini Uyui Maige Athumani Almas , Sikonge Sikonge George Joseph Kakunda, Urambo Margareth Samwel Sita , Kaliua Profesa Juma Athuman Kapuya, UlyankuluJohn Peter Kadutu,Nzega Mjini Hussein Mohamed Bashe, Bukene Suleiman Juma Zedi, Nzega Vijijini Dkt. Hamis Andrea Kigwangala, Igunga Dkt Dalaly Peter Kafumu
Manonga Seif Hamis Said.
Mkoa wa Tanga jimbo la Tanga Mjini Omari Rashid Nundu, Lushoto Shabani Omari Shekilindi, Bumbuli Januari Yusuf Makamba, Mlalo Rashid Abdakkag Shangazi, Pangani Jumaa Hamidu Aweso,Kilindi Kilindi Omari Mohamed Kigua, Mkinga Danstan Luka Kitandula, Handeni Mjini Dkt. Abdallah Omar Kigoda, Handeni Vijijini Mboni Mohamed Mhita, Muheza Balozi Adadi Mohamed Rajabu, Korogwe Mjini Mary Pius Chatanda, Korogwe Vijijini Stephen Hillary Ngonyani
ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 UBUNGE – ZANZIBAR
Mkoa wa Kaskazini Pemba jimbo la Wete Gando Salim Bakar Issa, Kojani Masoud Ali Moh’d,Mgogoni Issa Juma Hamad ,Mtambwe Khamis Seif Ali, Wete Dkt. Abdalla Saleh Abdalla, Micheweni Micheweni Khamis Juma Omar,Tumbe Rashid Kassim Abdalla ,Konde Ramadhan Omar Ahmed, Wingwi Khamis Shaame Hamad.
Kwa upande wa mkoa wa Kaskazini “A” Chaani Khamis Yahya Machano, Kijini Makame Mashaka Foum,Mkwajuni Khamis Ali Vuai, Nungwi Mustafa Makame Hamadi, Tumbatu Juma Othman Hija,Kaskazini “B”Bumbwini Mbarouk Juma Khatib,Donge Sadifa Juma Khamis, Kiwengwa Khamis Mtumwa Ali,Mahonda Bahati Ali Abeid.
Kusini Pemba Chake Chake Chake Chake Mbaraka Said Rashid,Chonga Abdalla Omar Muya,Ole Omar Mjaka Ali,Wawi Daud Khamis Juma,Ziwani Mohamed Othman Omar
Mkoani Chambani Moh’d Abdulrahman Mwinyi, Kiwani Rashid Abdulla Rashid, Mkoani Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, Mtambile Khamis Salum Ali.
Kusini Unguja Kati Chwaka Bhagwanji Meisuria (Mshamba),Tunguu Khalifa Salum Suleiman,Uzini Salum Mwinyi Rehani,Kusini Makunduchi Haji Ameir Haji (Timbe),Paje Jaffar Sanya Jussa
Magharibi Dimani jimbo la Dimani Hafidh Ali Tahir
Chukwani,Fuoni Abass Ali Hassan,Kiembesamaki,Ibrahim Hassanali Mohamed,Kijitoupele Shamsi Vuai Nahodha, Mwanakwerekwe Ahmada Yahya Abdulwakil (Shaa),Mfenesini Bububu Mwantakaje Haji Juma
Mfenesini Col. Mst. Masoud Ali Khamis,Welezo Saada Mkuya Salum,Mwera Ndugu Makame Kassim Makame
Mjini Amani jimbo la Amani Mussa Hassan Mussa,Chumbuni Ussi Salum Pondeza,Magomeni Ndugu Jamal Kassim Ali,Mpendae Ndugu Salim Hassan Turkey,Shaurimoyo Matar Ali Salum,Mjini Jang’ombe Ali Hassan Omar (King),Kikwajuni Ndugu Hamad Yussuf Masauni,Kwahani Dr. Hussein Ali Mwinyi,Malindi Dkt. Abdulla Juma Abdalla.
ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 BARAZA LA WAWAKILISHI - ZANZIBAR
Kaskazini Pemba Wete Mgogoni Ndugu Shehe Hamad Matar,Gando Ndugu Maryam Thani Juma,Kojani Ndugu Makame Said Juma,Mtambwe Ndugu Khadija Omar Kibano,Wete Ndugu Harusi Said Suleiman,Micheweni Micheweni Ndugu Shamata Shaame Khamis,Tumbe Ndugu Ali Khamis Bakar,Konde Ndugu Omar Seif Abeid,Wingwi Ndugu Said Omar Said
Kaskazini Unguja Kaskazini “A” Chaani Ndugu Nadil Abdul-Latif Jussa,Kijini Ndugu Juma Makungu Juma Mkwajuni Ndugu Ussi Yahaya Haji,Nungwi Ndugu Ame Haji Ali ,Tumbatu Ndugu Haji Omar Kheri,Kaskazini “B” Bumbwini Ndugu Mtumwa Peya Yussuf,Donge Dkt. Khalid Salum Mohamed,Kiwengwa Ndugu Asha Abdalla Mussaa,Mahonda Balozi Seif Alli Iddi
Kusini Pemba Chake Chake Chake Chake Ndugu Suleiman Sarhan Said Chonga Ndugu Shaibu Said Ali Ole Ndugu Mussa Ali Mussa, Wawi Ndugu Hamad Abdalla Rashid, Ziwani Ndugu Suleiman Makame Ali.
Mkoani Chambani Ndugu Bahati Khamis Kombo Kiwani Ndugu Mussa Foum Mussa Mkoani Ndugu Mmanga Mjwengo Mjawiri,Mtambile Ndugu Moh’d Mgaza Jecha.
Kusini Unguja Kati Chwaka Ndugu Issa Haji Ussi, Tunguu Ndugu Simai Mohamed Said, Uzini Ndugu Mohamedraza H. Dharamsi, Kusini Makunduchi Ndugu Haroun Ali Suleiman,Paje Ndugu Jaku Hashim Ayoub.
Magharibi Dimani Chukwani Ndugu Mwanaasha Khamis Juma,Dimani Dkt. Mwinyihaji Makame Mwadini, Fuoni Ndugu Yussuf Hassan Iddi,Kiembe Samaki Ndugu Mahmoud Thabit Kombo, Kijitoupele Ndugu Ali Suleiman Ali (Shihata),Mwanakwerekwe Ndugu Abdalla Ali Kombo,Pangawe Ndugu Khamis Juma Mwalim,Mfenesini,Bububu Ndugu Masoud Abraham Masoud,Mfenesini Ndugu Machano Othman Said,Mtoni Ndugu Hussein Ibrahim Makungu,Mtopepo Dkt. Makame Alli Ussi,Welezo Ndugu Hassan Khamis Hafidh,Mwera Ndugu Mihayo Juma N’hunga.
MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
Mjini Amani Amani Rashid Ali Juma,Chumbuni Ndugu Miraji Khamis Mussa,Magomeni Ndugu Rashid Makame Shamsi,Mpendae Ndugu Mohamed Said Mohamed (Dimwa),Shaurimoyo Ndugu Hamza Hassan Juma,Mjini Jang’ombe Ndugu Abdalla Maulid Diwani,Kikwajuni Ndugu Nassor Salum Ali (Jazeera),Kwahani Ndugu Ali Salum Haji,Malindi Ndugu Mohamed Ahmada Salum
WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA – UWT
Katibu wa Itikadi na Uenezi alisema kuwa uteuzi wa viti maalumu sehemu nyingi uliamuruwa jinsi ulivyokuwa ambapo kwa mkoa wa Dar es salaam ulibatilishwa ambapo awali alikuwa anaongoza Angel Kizingi ambaye ni mbunge wa Afrika Mashariki hivyo kikao kikiamuru aendelee na nafasi yake na nafasi ya ubunge akipatiwa aliyekuwa ameshika nafasi ya tatu ambaye ni Mariam Nassoro Kisangi.
Katika mkoa wa Arusha,Ndugu Catherine Valentine Magige,Ndugu Vailet Charles Mfuko.Dar es Salaam Ndugu Mariam Nassoro Kisangi,Ndugu Janeth Mourice Massaburi,Dodoma Ndugu Felister Aloyce Bura,Ndugu Fatuma Hassan Toufiq,Geita Ndugu Vicky Paschal Kamata,Ndugu Josephina Tabitha Chagula,Iringa Ndugu Rose Cyprian Tweve,Ndugu Ritha Enespher Kabati,Katavi Ndugu Taska Restuta Mbogo,Ndugu Anna Richard Lupembe, Kagera Ndugu Bernadetha Kasabango Mushashu,Ndugu Oliva Daniel Semuguruka,KigomaNdugu Josephine Johnson Genzabuke,Ndugu Philipa Geofrey Mturano.
Mikoa mingine ni Kilimanjaro Ndugu Shally Josepha Raymond,Ndugu Betty Eliezer Machangu,Lindi Ndugu Hamiuda Miohamed Abdallah,Ndugu Tecla Mohamed Ungele,Mara Ndugu Agnes Mathew Wambura,Ndugu Christina Mwema Samo,Manyara Ndugu Martha Jachi Umbulla,Ndugu Esther Alexander Mahawe,Mbeya Dr. Mary Machuche,Ndugu Mary Obadia Mbwilo,Morogoro Ndugu Christine Gabriel Ishengoma,Ndugu Sarah Msafiri Ally,Mtwara Ndugu Anastazia James Wambura,Ndugu Agness Elias Hokororo,Mwanza Kemirembe Julius Lwota,Ndugu Kiteto Zawadi Konshuma.
Wengine ni Susan Alphonce Kolimba, Neema William Mgaya kutoka Mkoa wa Njombe,
Pwani, Zaynab Matitu Vullu, Subira Khamis Mgalu, Rukwa, Bupe Nelson Mwakang’ata,Ndugu Silafu Jumbe Maufi,Ruvuma Ndugu Jacqueline Ngonyani Msongozi, Sikudhan Yassini Chikambo,Simiyu Esther Lukago Midim, Leah Jeremia Komanya,Songwe Ndugu Juliana Daniel Shonza,u Neema Gerald Mwandabila,Singida, Aisharose Ndogholi Matembe,Ndugu Martha Moses Mlata,Shinyanga Lucy Thoma Mayenga,Ndugu Azza Hillal Hamad,Tabora Ndugu Munde Tambwe Abdallah, Mwanne Ismail Mchemba,Tanga Ummy Ally Mwalimu, Sharifa O. Abebe
WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA YA UWT - ZANZIBAR
Kaskazini Pemba Ndugu Maida Hamad Abdalla,Ndugu Asya Sharif Omar,Kaskazini Unguja Ndugu Angelina Adam Malembeka,Ndugu Mwanajuma Kassim Makame,Kusini,Pemba Ndugu Faida Moh’d Bakar,Ndugu Asha Moh’d Omar,Kusini Unguja Ndugu Asha Mshimba Jecha,Ndugu Mwamtum Dau Haji,Magharibi Ndugu Tauhida Cassian GalosNdugu Kaukab Ali Hassan,Mjini Unguja Ndugu Fakharia Shomar Khamis Ndugu Asha Abdallah Juma
WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI – VITI MAALUM – ZANZIBAR
Kaskazini Pemba Ndugu Bihindi Hamad Khamis,Ndugu Choum Kombo Khamis,Kaskazini Unguja Ndugu Panya Ali Abdalla,Ndugu Mtumwa Suleiman Makame,Kusini Pemba,Ndugu Shadya Moh’d Suleiman,Ndugu Tatu Moh’d Ussi,Kusini Unguja Ndugu Salma Mussa Bilali,Ndugu Wanu Hafidh Ameir,Magharibi Ndugu Mwanaidi Kassim Mussa,Ndugu Amina Iddi Mabrouk,Mjini Ndugu Mgeni Hassan Juma,Ndugu Saada Ramadhan Mwendwa
WABUNGE WA WALIOTEULIWA KUPITIA MAKUNDI MENGINE
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Halima Abdallah Bulembo,Ndugu Zainabu Athuman Katimba,Ndugu Mariamu Dittopile Mzuzuri,Ndugu Maria Ndilla Kangoye,Ndugu Sophia Mfaume Kizigo,Ndugu Irine Uwoya.
UVCCM - ZANZIBAR
Ndugu Khadija Nassir Ali,Ndugu Munira Mustafa Khatibu,Ndugu Nadra Juma Mohamed,Ndugu Time Bakar Sharif kundi la wazazi Ndugu Najma Murtaza Giga - Tanzania Zanzibar),Ndugu Zainabu Nuhu Mwamwindi - (Tanzania Bara),Walemavu Ndugu Stella Alex Ikupa,Ndugu Amina Saleh Mollel,Vyuo Vikuu Ndugu Jasmin Tisekwa Bunga,Ndugu Esther Michael Mmasi,NGO’s Mchungaji Getrude P. Rwakatare,Ndugu Khadija Hassan Aboud,Wafanyakazi Ndugu Angelina Jasmin Kairuki,Ndugu Hawa Mchafu Chakoma.
Katika mchakato huo idadi ya wagombe wote waliochukua fomu za kuombe nafasi ya ubunge ni 2721 ambapo wanawake walikuwa 781 na wanaume 1940.
Taya uteuzi huo umeshakamili hivyo wagombe awanasubiri kipenga kipulizwa rasmi kwa ajili ya kuanza kampeni.
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemaliza mchakato wa uteuzi wa wabunge na wawakilishi wa majimbo na viti maalum huku baadhi ya majimbo yatarudia uchaguzi wake.
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Katibu wa NEC itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema kuwa kuna baadhi ya majimbo ambayo yalionekana kuwa na dosari wakati wa kura za maoni hivyo uchaguzi urtarudiwa na mengine kura kuhakikiwa.
Alisema kuwa majimbo ambayo yatarudia uchaguzi ni pamoja na jimbo la Ukonga,Kilolo,Rufiji, Busega na Mbinga Vijijini ambapo watarudia uchaguzi katika kata mbili.
Alisema kuwa katika majimbo mengine ambayo yatahakikiwa kura ni pamoja na Makete, kiteto, Njombe kusini, Chilonwa, Namtumbo huku jimbo la Singida mashariki ambalo awali ilionekana uchaguzi wake utarudiwa lakini alieleza kuwa viongozi wa jimbo hilo wanaendelea na mazungumzo na ngazi ya , Taifa a,bapo bado haijafahamika kuwa watarudia uchaguzi au watahakiki kura.
Hata hivyo Nape alieleza kuwa sababu za kurudia au kuhakiki kura katika majimbo hayo zilikuwa zinatofautiana kwani kwa baadhi ya majimbo mgombea alikuwa na matokeo yake,ambayo yalikuwa yanatofautiana na matokeo ambayo chama ilikuwa imepewa.
“Hapa siwezi kusema kuwa dosari zilizojitokeza katika majimbo hayo ni zipi ila tu nisema kuwa kulikuwa huenda kulikuwa na uchakachuaji ambao ulikuwa unafanyika njiani kwani utakuta mgombea alikuwa na matokeo yake lakini akifika kwenye chama anakuta matokeo yapo tofauti nayale ya awali.”alisema
Alisema kuwa kila jimbo litafanya uchaguzi au uhakiki wa kura zake kutokana na mazingira ya eneo husika lakini uteuzi wa mwisho wa wagombea hao itakuwa ni Agost,17 mwaka huu ambapo kamati kuu ndiyo itayohusika na uteuzi huo.
Hata hivyo alieleza kuwa katika harakati hizo za kurudia uchaguzi au kuhakiki kura watajitahidi kuongeza nguvu katika eneo husika kutoka wilaya za jirani, ngazi ya mkoa na wakiona kuwa haitoshio watalazimika kuongeza nguvu kutoka ngazi ya Taifa lengo likiwa ni kuona haki inatendeka.
“Tumelazimika kufanya hivyo kama chama kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi kuwa baadhi ya wasimamizi ambao walionekana kuwa hawakutenda haki kwa wagombea, lakini tunaamini kwa nguvu hiyo tuliyoiongeza tunaamini kuwa dosari zilizojitokeza awali hazitajitokeza tena.”alisema pia
Akizungumzia uteuzi mzima wa wabunge hao akianza na Mkoa wa Arusha Mjini, jimbo la Arusha Mjini, aliyeteuliwa ni ,Philemon Mollel,Karatu Dkt, Wilbard Slaa Lorr, Arumeru Magharibi, Loy Thomas ole Sabaya,Arumeru Mashariki, John Danielson Sakaya (JD),Longido Longido Dkt. Stephen Lemomo Kiruswa,Monduli Monduli Ndugu Namelock Edward Sokoine, Ngorongoro William Tate ole Nasha.
Mkoa wa Dar es Salaam alisema kuwa walioteuliwa kuwa ni pamoja na mbunge wa jimbo la Ilala Zungu Mussa Azzan,Segerea Bonna Mosse Kaluwa,Temeke Abasi Zuberi Mtemvu ,Kigamboni Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile,Mbagala Issa Ally A. Mangungu ,Kinondon,Kawae Kippi Ivor Warioba ,Ubungo Dkt. Didas John Masaburi,Kibamba Dkt. Fenela E. Mkangala,Kinondoni Iddi Azzan.
3Kwa upande wa Mkoa wa Dodoma jimbo la Chemba Juma Selemani Nkamia ambaye ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo ametuliwa,Bahi Omar Ahmed Badwel,Mpwapwa Kibakwe George Boniface Simbachawene Waziri wa Niashati na Madini,Mpwapwa George Malima Lubeleje,Mtera Livingstone Joseph Lusinde,Dodoma Mjini Antony Peter Mavunde,Kongwa Kongwa Job Ndugai mbaye alikuwa Naibu Spika,Kondoa Sanda Edwin,Kondoa Vijijini Dkt. Ashatu Kijaji.
Mkoa wa Geita Jimbo la Geita Mjini Costantine John Kanyansu,Geita Vijijini Joseph Lwinza Kasheku,Busanda Lolensia Masele Bukwimba,Mbogwe Augustino Manyanda Massele,Bukombe Doitto Mashaka Biteko,Chato Dkt. Medard Matogolo Kalemani,Nyangwale Hussein Nassor Amar
Mkoa wa Iringa Iringa Mjini Mwakalebela Fredrick Wilfred,Iringa Vijijini Isimani William Vangimembe Lukuvi,Kalenga Godfrey William Mgimwa, Mufindi Kaskazini Mahmoud Hassan Mgimwa,Mufindi Kusini Mendrad Lutengano Kigola,Mafinga Mjini Cosato David Chumi.
Mkoa wa Kagera Bukoba Mjini Balozi Khamis Sued Kagasheki, Bukoba Vijijini Jasson Samson Rweikiza,Biharamulo Osca Rwegasira Mkassa, Karagwe,Innocent Luugha Bashungwa Kyerwa Innocent Sebba, Bilakwate Muleba Kaskazini Charles John Mwijage Muleba Kusini Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka,Misenyi Nkenge Diodorus Buberwa Kamala, Ngara Alex Raphael Gashaza.
Katika Mkoa wa Katavi Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Simon Kapufi, Mpanda Vijijini Moshi Selemani Kakoso, Mlele Katavi Issack Aloyce Kamwele, Nsimbo Richard Philip Mbogo , Kavuu Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe.
Kwa ipande wa mkoa wa Kigoma Jimbo la Kakonko Buyungu Eng. Christopher K. Chiza, Kibondo Muhambwe Eng. Atashasta Nditye, Kasulu Mjini Daniel Nsanzugwanko, Kasulu Vijijini Augustino Vuma Holle,Buhigwe Manyovu, Albert Obama Ntabaliba, Kigoma Mjini Amani Walid Kabourou,Kigoma Kaskazini Peter Joseph Serukamba, Uvinza Kigoma Kusini Hasna Sudi Mwilima.
Kwa Mkoa wa Kilimanjaro jimbo la Hai Danstan Lucas Mallya,Siha Aggrey Deaidile Mwanri, Moshi Mjini Moshi Mjini Mosha Davis Elisa, Mwanga Profesa Jumanne A. Maghembe, Same Mashiriki Anne Kilango Malecela, Same Magharibi David Mathayo David, Moshi Vijijini Dkt. Cyril August Chami,Vunjo Innocent Melleck Shirima, Rombo Sanje Samora Colman.
Mkoa wa Lindi jimbo la Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa, Liwale Liwale Faith Mohamed Mitambo,Nachingwea Hassan Elias Masala,Lindi Vijijini Mtama Nape Moses Nnauye, Mchinga Said Mohamed Mtanda , Lindi Mjini Hassan Seleman Kaunje, Kilwa Kusini Hasnain Gulamabas Dewji,Kilwa Kaskazini Murtaza Ally Mangungu.
Mkoa wa Mara jimbo la Bunda Mjini Steven Masatu Wasira
,Mwibara Kangi Alphaxard Lugola, Bunda Vijijini Boniface Mwita Getere,Tarime Christopher Ryoba Kangoye,Tarime Mjini Michael Mwita Kembaki ,Serengeti Dkt. Steven Kebwe Kebwe, Butiama Butiama Nimrod Elirehemah Mkono, Butiama Vijijini Prof. Sospeter Mwinjarubi Muhongo, Rorya Lameck Okambo Airo,Musoma Mjini Vedastus Mathayo Manyinyi.
Mkoa wa Manyara Jimbo la Babati Mjini Kisyeri Chambiri, Babati Vijijini Jittu Vrajilal Son, Hanang’ Dkt. Mary Michael Nagu, Mbulu Mjini Zacharia Paulo Issaay, Mbulu Vijijini Fratei Gregory Massay, Simanjiro Simanjiro Christopher Olonyhokie Ole Sendeka.
Mkoa wa Mbeya Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala Mwalyego, Mbeya Vijijini Oran M. Njeza, Mbarali Mbarali , Haroon Mullah Pirmohamed, Rungwe Sauli Henry Amon,Busokelo Ndugu Atupele Fredy Mwakibete, Ileje Janeth Zebedayo Mbene, Mbozi Weston Godfrey Zambi,Vwawa Ngailonga Josephat Kasunga, Momba Luca Jelas Siyame,Tunduma Frank Mastara Sichalwe,Chunya Lupa Victor Mwambalaswa, Songwe Philip A. Mulugo, Kyela Dkt. Harrison George Mwakyembe.
Mkoa wa Morogoro jimbo la Morogoro Mjini Ndugu Abood Mohamed Abdul Aziz Morogoro Vijijini Morogoro Kusini Prosper Joseph Mbena, Morogoro Kusini Mashariki Omar Tibweta Mgumba, Gairo Ahmed Shabiby Mvomero Suleiman Ahmed Saddiq ,Mikumi Jones Estomih Nkya,Kilombero Abubakar Damian Asenga, Mlimba Godwin Emmanuel Kunambi Ulanga Ulanga Mashariki Celina Ompeshi Kombani, Ulanga Magharibi Dkt. Hadji Mponda Kilosa Kilosa Ndugu Mbaraka Salum Bawazir.
Mkoa wa Mtwara jimbo la Mtwara Mjini Ndugu Hasnen Mohamed Murji, Nanyamba Ndugu Abdallah Dadi Chikota, Mtwara Vijijini Hawa Abdulhaman Ghasia
,Tandahimba Shaibu Salum Likumbo,Newala Newala Mjini George Huruma Mkuchika,Newala Vijijini Rashid Ajali Akbar, Nanyumbu William Dua Mkurua,Masasi Ndanda Mariam Reuben Kasembe, Masasi Chuachua Mohamed Rashid,Lulindi Jerome Dismas Bwanausi.
Kwa upande wa Mwanza Jimbo la Ilemela Angelina Sylvester Lubala Mabula, Nyamagana Stanslaus S. Mabula,Kwimba Mansoor Shanif Hiran,Sumve Richard Maganga Ndassa,Misungwi Charles Mhangwa Kitwanga, Magu Boniventura Desdery Kiswaga, Sengerema William Mganga Ngeleja,Buchosa Dkt. Charles John Tzeba, Ukerewe Christopher Nyandiga.
Mkoa waNjombe jimbo la Njombe Kaskazini Joram Hongoli , Makambako Deo Kasenytenbda Sanga Wanging’ombe Gerson Hosea Lwenge,Ludewa Deo Filikunjombe
Mkoa wa Pwani jimbo la Bagamoyo Dkt. Shukuru Kawambwa,Chalinze Ridhiwani J. Kikwete,Kibaha Mjini Sylvester Francis Koka,Kibaha Vijijini Hamoud Abuu Jumaa ,Kisarawe Selemani Said Jaffo , Mafia Mbaraka K. Dau, Mkuranga Abdallah H. Ulega,Kibiti Ally Seif Ungando.
Mkoa wa Rukwa jimbo la Sumbawanga Mjini Aeshi Khalfan Hilaly, Nkansi Kaskazini Ally Mohamed Kessy, Nkansi Kusini Deuderit John Mipata,Sumbawanga Vijijini Kwela Ignas Aloyce Malocha, Kalambo Josephat Sinkamba Kandege.
Kwa upande wa Mkoa Ruvuma jimbo la Songea Mjini Leonidas Tutubert Gama, Nyasa Eng. Stella Martin Manyanya, Tunduru Kaskazini Ramo Matala Makani,Tunduru Kusini Daimu Iddi Mpakate,jimbola Peramiho Jenister Joakim Mhagama,Madaba Joseph Kisito Mhagama ,Mbinga Mjini Sixtus Raphael Mapunda
Mkoa wa Simiyu jimbo la Bariadi Magharibi Andrew John Chenge, Itilima Bariadi Mashariki (Itilima) Njalu Daudi Silanga, Meatu Salum Khamis Salumu,Kisesa Luhanga Joelson Mpina,Maswa Mashariki Stanslaus Haroun Nyongo Maswa Magharibi Mashimba Mashauri Ndaki.
Mkoa wa Singida jimbo la Singida Mjini Ramadhani Sima
,Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu,Mkalama Iramba Mashariki Joseph Allan Kiula, Iramba Magharibi Mwigulu Lamech Nchemba, Manyoni Magharibi Yahya Omari Masare,Manyoni Mashariki Daniel Edward Mtuka, Singida Magharibi Elibariki Emmanuel Kingu .
Mkoa wa Shinyanga jimbo la Shinyanga Mjini Steven Masele, Shinyanga Vijijini Solwa Ahmed Ally Salum, Kishapu Suleiman Masoud Nchambi, Kahama Msalala Ezekiel Magolyo Maige,Ushetu Elias John Kwandikwa Kahama Mjini Kishimba Jumanne Kibera.
Mkoa wa Tabora jimbo la Tabora Mjini Emmanuel Mwakasaka, Uyui Igalula Ntimizi Rashidi Mussa ,Kaskazini Uyui Maige Athumani Almas , Sikonge Sikonge George Joseph Kakunda, Urambo Margareth Samwel Sita , Kaliua Profesa Juma Athuman Kapuya, UlyankuluJohn Peter Kadutu,Nzega Mjini Hussein Mohamed Bashe, Bukene Suleiman Juma Zedi, Nzega Vijijini Dkt. Hamis Andrea Kigwangala, Igunga Dkt Dalaly Peter Kafumu
Manonga Seif Hamis Said.
Mkoa wa Tanga jimbo la Tanga Mjini Omari Rashid Nundu, Lushoto Shabani Omari Shekilindi, Bumbuli Januari Yusuf Makamba, Mlalo Rashid Abdakkag Shangazi, Pangani Jumaa Hamidu Aweso,Kilindi Kilindi Omari Mohamed Kigua, Mkinga Danstan Luka Kitandula, Handeni Mjini Dkt. Abdallah Omar Kigoda, Handeni Vijijini Mboni Mohamed Mhita, Muheza Balozi Adadi Mohamed Rajabu, Korogwe Mjini Mary Pius Chatanda, Korogwe Vijijini Stephen Hillary Ngonyani
ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 UBUNGE – ZANZIBAR
Mkoa wa Kaskazini Pemba jimbo la Wete Gando Salim Bakar Issa, Kojani Masoud Ali Moh’d,Mgogoni Issa Juma Hamad ,Mtambwe Khamis Seif Ali, Wete Dkt. Abdalla Saleh Abdalla, Micheweni Micheweni Khamis Juma Omar,Tumbe Rashid Kassim Abdalla ,Konde Ramadhan Omar Ahmed, Wingwi Khamis Shaame Hamad.
Kwa upande wa mkoa wa Kaskazini “A” Chaani Khamis Yahya Machano, Kijini Makame Mashaka Foum,Mkwajuni Khamis Ali Vuai, Nungwi Mustafa Makame Hamadi, Tumbatu Juma Othman Hija,Kaskazini “B”Bumbwini Mbarouk Juma Khatib,Donge Sadifa Juma Khamis, Kiwengwa Khamis Mtumwa Ali,Mahonda Bahati Ali Abeid.
Kusini Pemba Chake Chake Chake Chake Mbaraka Said Rashid,Chonga Abdalla Omar Muya,Ole Omar Mjaka Ali,Wawi Daud Khamis Juma,Ziwani Mohamed Othman Omar
Mkoani Chambani Moh’d Abdulrahman Mwinyi, Kiwani Rashid Abdulla Rashid, Mkoani Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, Mtambile Khamis Salum Ali.
Kusini Unguja Kati Chwaka Bhagwanji Meisuria (Mshamba),Tunguu Khalifa Salum Suleiman,Uzini Salum Mwinyi Rehani,Kusini Makunduchi Haji Ameir Haji (Timbe),Paje Jaffar Sanya Jussa
Magharibi Dimani jimbo la Dimani Hafidh Ali Tahir
Chukwani,Fuoni Abass Ali Hassan,Kiembesamaki,Ibrahim Hassanali Mohamed,Kijitoupele Shamsi Vuai Nahodha, Mwanakwerekwe Ahmada Yahya Abdulwakil (Shaa),Mfenesini Bububu Mwantakaje Haji Juma
Mfenesini Col. Mst. Masoud Ali Khamis,Welezo Saada Mkuya Salum,Mwera Ndugu Makame Kassim Makame
Mjini Amani jimbo la Amani Mussa Hassan Mussa,Chumbuni Ussi Salum Pondeza,Magomeni Ndugu Jamal Kassim Ali,Mpendae Ndugu Salim Hassan Turkey,Shaurimoyo Matar Ali Salum,Mjini Jang’ombe Ali Hassan Omar (King),Kikwajuni Ndugu Hamad Yussuf Masauni,Kwahani Dr. Hussein Ali Mwinyi,Malindi Dkt. Abdulla Juma Abdalla.
ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 BARAZA LA WAWAKILISHI - ZANZIBAR
Kaskazini Pemba Wete Mgogoni Ndugu Shehe Hamad Matar,Gando Ndugu Maryam Thani Juma,Kojani Ndugu Makame Said Juma,Mtambwe Ndugu Khadija Omar Kibano,Wete Ndugu Harusi Said Suleiman,Micheweni Micheweni Ndugu Shamata Shaame Khamis,Tumbe Ndugu Ali Khamis Bakar,Konde Ndugu Omar Seif Abeid,Wingwi Ndugu Said Omar Said
Kaskazini Unguja Kaskazini “A” Chaani Ndugu Nadil Abdul-Latif Jussa,Kijini Ndugu Juma Makungu Juma Mkwajuni Ndugu Ussi Yahaya Haji,Nungwi Ndugu Ame Haji Ali ,Tumbatu Ndugu Haji Omar Kheri,Kaskazini “B” Bumbwini Ndugu Mtumwa Peya Yussuf,Donge Dkt. Khalid Salum Mohamed,Kiwengwa Ndugu Asha Abdalla Mussaa,Mahonda Balozi Seif Alli Iddi
Kusini Pemba Chake Chake Chake Chake Ndugu Suleiman Sarhan Said Chonga Ndugu Shaibu Said Ali Ole Ndugu Mussa Ali Mussa, Wawi Ndugu Hamad Abdalla Rashid, Ziwani Ndugu Suleiman Makame Ali.
Mkoani Chambani Ndugu Bahati Khamis Kombo Kiwani Ndugu Mussa Foum Mussa Mkoani Ndugu Mmanga Mjwengo Mjawiri,Mtambile Ndugu Moh’d Mgaza Jecha.
Kusini Unguja Kati Chwaka Ndugu Issa Haji Ussi, Tunguu Ndugu Simai Mohamed Said, Uzini Ndugu Mohamedraza H. Dharamsi, Kusini Makunduchi Ndugu Haroun Ali Suleiman,Paje Ndugu Jaku Hashim Ayoub.
Magharibi Dimani Chukwani Ndugu Mwanaasha Khamis Juma,Dimani Dkt. Mwinyihaji Makame Mwadini, Fuoni Ndugu Yussuf Hassan Iddi,Kiembe Samaki Ndugu Mahmoud Thabit Kombo, Kijitoupele Ndugu Ali Suleiman Ali (Shihata),Mwanakwerekwe Ndugu Abdalla Ali Kombo,Pangawe Ndugu Khamis Juma Mwalim,Mfenesini,Bububu Ndugu Masoud Abraham Masoud,Mfenesini Ndugu Machano Othman Said,Mtoni Ndugu Hussein Ibrahim Makungu,Mtopepo Dkt. Makame Alli Ussi,Welezo Ndugu Hassan Khamis Hafidh,Mwera Ndugu Mihayo Juma N’hunga.
MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
Mjini Amani Amani Rashid Ali Juma,Chumbuni Ndugu Miraji Khamis Mussa,Magomeni Ndugu Rashid Makame Shamsi,Mpendae Ndugu Mohamed Said Mohamed (Dimwa),Shaurimoyo Ndugu Hamza Hassan Juma,Mjini Jang’ombe Ndugu Abdalla Maulid Diwani,Kikwajuni Ndugu Nassor Salum Ali (Jazeera),Kwahani Ndugu Ali Salum Haji,Malindi Ndugu Mohamed Ahmada Salum
WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA – UWT
Katibu wa Itikadi na Uenezi alisema kuwa uteuzi wa viti maalumu sehemu nyingi uliamuruwa jinsi ulivyokuwa ambapo kwa mkoa wa Dar es salaam ulibatilishwa ambapo awali alikuwa anaongoza Angel Kizingi ambaye ni mbunge wa Afrika Mashariki hivyo kikao kikiamuru aendelee na nafasi yake na nafasi ya ubunge akipatiwa aliyekuwa ameshika nafasi ya tatu ambaye ni Mariam Nassoro Kisangi.
Katika mkoa wa Arusha,Ndugu Catherine Valentine Magige,Ndugu Vailet Charles Mfuko.Dar es Salaam Ndugu Mariam Nassoro Kisangi,Ndugu Janeth Mourice Massaburi,Dodoma Ndugu Felister Aloyce Bura,Ndugu Fatuma Hassan Toufiq,Geita Ndugu Vicky Paschal Kamata,Ndugu Josephina Tabitha Chagula,Iringa Ndugu Rose Cyprian Tweve,Ndugu Ritha Enespher Kabati,Katavi Ndugu Taska Restuta Mbogo,Ndugu Anna Richard Lupembe, Kagera Ndugu Bernadetha Kasabango Mushashu,Ndugu Oliva Daniel Semuguruka,KigomaNdugu Josephine Johnson Genzabuke,Ndugu Philipa Geofrey Mturano.
Mikoa mingine ni Kilimanjaro Ndugu Shally Josepha Raymond,Ndugu Betty Eliezer Machangu,Lindi Ndugu Hamiuda Miohamed Abdallah,Ndugu Tecla Mohamed Ungele,Mara Ndugu Agnes Mathew Wambura,Ndugu Christina Mwema Samo,Manyara Ndugu Martha Jachi Umbulla,Ndugu Esther Alexander Mahawe,Mbeya Dr. Mary Machuche,Ndugu Mary Obadia Mbwilo,Morogoro Ndugu Christine Gabriel Ishengoma,Ndugu Sarah Msafiri Ally,Mtwara Ndugu Anastazia James Wambura,Ndugu Agness Elias Hokororo,Mwanza Kemirembe Julius Lwota,Ndugu Kiteto Zawadi Konshuma.
Wengine ni Susan Alphonce Kolimba, Neema William Mgaya kutoka Mkoa wa Njombe,
Pwani, Zaynab Matitu Vullu, Subira Khamis Mgalu, Rukwa, Bupe Nelson Mwakang’ata,Ndugu Silafu Jumbe Maufi,Ruvuma Ndugu Jacqueline Ngonyani Msongozi, Sikudhan Yassini Chikambo,Simiyu Esther Lukago Midim, Leah Jeremia Komanya,Songwe Ndugu Juliana Daniel Shonza,u Neema Gerald Mwandabila,Singida, Aisharose Ndogholi Matembe,Ndugu Martha Moses Mlata,Shinyanga Lucy Thoma Mayenga,Ndugu Azza Hillal Hamad,Tabora Ndugu Munde Tambwe Abdallah, Mwanne Ismail Mchemba,Tanga Ummy Ally Mwalimu, Sharifa O. Abebe
WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA YA UWT - ZANZIBAR
Kaskazini Pemba Ndugu Maida Hamad Abdalla,Ndugu Asya Sharif Omar,Kaskazini Unguja Ndugu Angelina Adam Malembeka,Ndugu Mwanajuma Kassim Makame,Kusini,Pemba Ndugu Faida Moh’d Bakar,Ndugu Asha Moh’d Omar,Kusini Unguja Ndugu Asha Mshimba Jecha,Ndugu Mwamtum Dau Haji,Magharibi Ndugu Tauhida Cassian GalosNdugu Kaukab Ali Hassan,Mjini Unguja Ndugu Fakharia Shomar Khamis Ndugu Asha Abdallah Juma
WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI – VITI MAALUM – ZANZIBAR
Kaskazini Pemba Ndugu Bihindi Hamad Khamis,Ndugu Choum Kombo Khamis,Kaskazini Unguja Ndugu Panya Ali Abdalla,Ndugu Mtumwa Suleiman Makame,Kusini Pemba,Ndugu Shadya Moh’d Suleiman,Ndugu Tatu Moh’d Ussi,Kusini Unguja Ndugu Salma Mussa Bilali,Ndugu Wanu Hafidh Ameir,Magharibi Ndugu Mwanaidi Kassim Mussa,Ndugu Amina Iddi Mabrouk,Mjini Ndugu Mgeni Hassan Juma,Ndugu Saada Ramadhan Mwendwa
WABUNGE WA WALIOTEULIWA KUPITIA MAKUNDI MENGINE
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Halima Abdallah Bulembo,Ndugu Zainabu Athuman Katimba,Ndugu Mariamu Dittopile Mzuzuri,Ndugu Maria Ndilla Kangoye,Ndugu Sophia Mfaume Kizigo,Ndugu Irine Uwoya.
UVCCM - ZANZIBAR
Ndugu Khadija Nassir Ali,Ndugu Munira Mustafa Khatibu,Ndugu Nadra Juma Mohamed,Ndugu Time Bakar Sharif kundi la wazazi Ndugu Najma Murtaza Giga - Tanzania Zanzibar),Ndugu Zainabu Nuhu Mwamwindi - (Tanzania Bara),Walemavu Ndugu Stella Alex Ikupa,Ndugu Amina Saleh Mollel,Vyuo Vikuu Ndugu Jasmin Tisekwa Bunga,Ndugu Esther Michael Mmasi,NGO’s Mchungaji Getrude P. Rwakatare,Ndugu Khadija Hassan Aboud,Wafanyakazi Ndugu Angelina Jasmin Kairuki,Ndugu Hawa Mchafu Chakoma.
Katika mchakato huo idadi ya wagombe wote waliochukua fomu za kuombe nafasi ya ubunge ni 2721 ambapo wanawake walikuwa 781 na wanaume 1940.
Taya uteuzi huo umeshakamili hivyo wagombe awanasubiri kipenga kipulizwa rasmi kwa ajili ya kuanza kampeni.
No comments