Header Ads

ad

Breaking News

Fulham wamtaka Mkenya McDonald Mariga




LONDON, England
KLABU ya Fulham, inamfukuzia kiungo wa Inter Milan, McDonald Mariga, kwa ajili ya kumsajili Januari mwakani.

Nyota huyo wa Kenya, ambaye pia anafukuziwa na Manchester City, dau lake ni pauni milioni 6, amekuwa akikaa benchi na kukosa namba chini ya kocha Andrea Stramaccioni.

No comments