RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA WAKUU WA MIKOA WOTE

 
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikutana na wakuu wa mikoa wote 
katika kikao kilichohudhuriwa pia na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu 
Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi 
John Kijazi, baadhi ya mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali George 
Masaju Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 13, 2017
PICHA NA IKULU
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments