Header Ads

ad

Breaking News

TRA waendesha Semina ya masuala ya kodi kwa waandishi wa habari Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi, Richard Kayombo akizungumza kwenye Semina 
ya masuala ya kodi kwa wanahabari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na 
kufanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Kodi Mkuu wa TRA, 
Sydney Mkamba na Anjela Michael (kulia) Mwenyekiti wa Semina hiyo.
Ofisa Mkuu wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Gabriel 
Mwangosi (wa kwanza kushoto) akiwasilisha mada katika Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa
 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato
 Tanzania (TRA) na kufanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya 
Mapato Tanzania (TRA) na kufanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya 
Mapato Tanzania (TRA) na kufanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam.
Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikiendelea.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya 
Mapato Tanzania (TRA) na kufanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika Semina ya masuala ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya 
Mapato Tanzania (TRA) na kufanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam.

No comments