MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIA-MERERANI, JIJINI ARUSHA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa
Mji mdogo wa Mererani, wakati wa hafla ya kuweka Jiwe la Msingi la
Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani yenye Kilometa 26. Hafla hiyo
imefanyika leo Julai 30, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt.
John Pombe Magufuli, na baadhi ya viongozi wakifunua kitambaa kwa pamoja
kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani,
wakati wa hafla fupi iliyofanyika mji mdogo wa Mererani, leo Julai 30,
2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt.
John Pombe Magufuli, na baadhi ya viongozi wakifunua kitambaa kwa pamoja
kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani,
wakati wa hafla fupi iliyofanyika mji mdogo wa Mererani, leo Julai 30,
2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt.
John Pombe Magufuli na baadhi ya Viongozi,kwa pamoja wakikata utepe
kuashiria kuzindua rasmi harakati za ujenzi wa Barabara ya Kilometa 26
ya Kia-Mererani, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika mji mdogo wa Mererani
leo Julai 30, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa vazi la
kabila la Masai na Kiongozi wa Mila ya Laibuwanani, Kisota Lengitambi,
wakati wa hafla hiyo ya uwekaji wa Jiwela Msingi la Ujenzi wa Barabara
ya Kia-Mererani. leo julai 30, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya viongozi wa makabila mawili makubwa ya Kimasai baada
ya kumvisha vazi hilo. Picha na OMR
Dkt. Bilal akiagana na viongozi hao wa kabila la Masai.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa
kumbukumbu baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-
Mererani, leo Julai 30, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya viongozi. Picha na OMR
Waziri wa Ujenzi, Dkt. John
Magufuli, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi, Makamu wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal. Picha na
OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt.
John Magufuli, wakicheza sambamba na kinamama wa kabila la Kimasai
wakati wakifurahia ngoma ya Kimasai kwenye hafla ya uwekaji wa Jiwe la
Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani, leo Mkoani Manyara. Picha
na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi,
Dkt. John Magufuli, wakifurahia ngoma ya asili kwenye hafla ya uwekaji
wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani, leo Mkoani
Manyara. Picha na OMR
No comments