MAKAMU WA RAIS DK BILAL ASHIRIKI ZOEZI LA SENSA JIJINI DAR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Ofisa kutoka Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Radegunda Maro,
wakati ofisa huyo alipofika nyumbani kwa Makamu akiwa na Karani wa
Sensa na msimamizi wake kutoka Kituo cha Oysterbay, kwa ajili ya
kukamilisha zoezi la Sensa, leo asubuhi Agosti, 26, 2012. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akijiandaa kujibu maswali kutoka kwa Karani wa Sensa, Happyness Masaka
(kulia) ikiwa ni sehemu ya kukamilisha zoezi hilo la Senza ya watu na
Makazi, lililoanza leo nchini kote, ambalo litadumu kwa siku saba.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiagana na Karani wa Senza, Happyness Masaka, baada ya kukamilisha
zoezi la kujibu maswali husika katika zoezi hilo, leo asubuhi nyumbani
kwake Oysterbay, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Msimamizi wa Sensa wa
Kituo cha Oysterbay, Daria Kailembo (kushoto) ni Ofisa kutoka Ofisi ya
Takwimu ya Ttifa, Stanley Mahembe
No comments