Header Ads

ad

Breaking News

Meya wa Ilala Mhe.Jerry Silaa amtembelea Rais Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea nyaraka muhimu ikulu leo kutoka kwa  Meya wa  Manispaa ya Ilala Mhe.Jerry Silaa wakati meya huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ya Manispaa hiyo.Wengine katika picha ni viongozi kutoka manispaa ya Ilala waliofuatana na Meya juzi (picha na Freddy Maro)
  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha ya pamoja na Meya wa Ilala Jerry Slaa na ujumbe wake wakati ujumbe huo ulipomtembelea Ikulu leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Meya wa Manispaa ya Ilala  wakati Meya huyo alipomtembelea Ikulu leo

No comments