Federer atwaa taji la Wimbledon mara ya nane
Roger Federer mshindi mara nane wa michuano ya wazi ya Wimbledon. (Getty Images)
Mchezaji namba
tano kwa ubora wa mchezo tenesi duniani, Roger Federer ameweka historia ya kuwa
mchezaji wa kwanza kutwaa taji la michuano ya Wimbledon, kwa mara nane.
Hili ni taji la 19 la Grand Slam, kwa mchezaji huyu raia wa Switzerland, na kuwa mchezaji mkubwa zaidi kutwaa mataji yote ya michuano ya wazi ya England.
Wannit to watch Wimbledon online for free and came to this link. Watch Wimbledon on Kodi finally I can watch it for free.
ReplyDelete