MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 25, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 15, 2017
![]() |
Naibu Waziri Ofisi
ya Rais –TAMISEMI, Suleiman Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao
cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei
15, 2017
|
![]() |
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akizungumza jambo na Mbunge wa Nkasi, Ally Kessy katika kikao cha Ishirini
na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 13, 2017.
|
![]() |
Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 15, 2017 |
![]() |
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 15, 2017 |
![]() |
Waziri wa Nishati na Madini, .Profesa Sospeter Muhongo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 15, 2017 |
![]() |
Waziri wa Viwanda,Biashara
na Uwekezaji, Charles Mwijage akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao
cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei
15, 2017
|
No comments