Chelsea safi Ligi Kuu England, Man City, Burnley, Tottenham, West Brom safi

Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza Diego Costa mfungaji wa bao la pili lililoipa ushindi timu hiyo dhidi ya Watford dakika ya 87. Chelsea ilishinda mabao 2-1.

Diego Costa akipasia nyavu nbaada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Cesc Fabregas katika mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Watford, leo.




Etienne Capoue akishangailia bao aliloifungia timu yake ya Watford dakika ya 55 dhidi ya Chelsea kwenye Uwanja wa Vicarage Road. Chelsea ilishinda mabao 2-1.
Matokeo ya mechi za leo
No comments