Header Ads

ad

Breaking News

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AHUDHURIA MSIBA WA SHAKILA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,. Samia Suluhu Hassan akimfariji mtoto wa marehemu Shakila anayejulikana kwa jina la Hamad Akida.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha maombelezo ya msiba wa marehemu Shakila Said. (Picha na ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha maombelezo ya msiba wa marehemu Shakila Said. (Picha na ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwafariji ndugu wa marehemu Shakila nyumbani kwa marehemu Mbagala Chalambe.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwafariji ndugu wa marehemu Shakila nyumbani kwa marehemu Mbagala Chalambe.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki dua ya kumuombea marehemu Shakila. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments