UKAWA KUWANUFAISHA WAKULIMA WA KOROSHO NA UFUTA MIKOA YA KUSINI
Mgombea
Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwasili katika jimbo
la Mtama katika mkutano wa kampeni uliofanyika mkoani Lindi ambapo
katika hoyuba yake aliwaambia wananchi wa mkoa wa Lindi kuwa endapo
serikali ya Ukawa itaingia madarakani itaboresha bei ya ufuta na korosho
ili kuwanufaisha wakulima wa zao hilo. (Picha na Francis Dande)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Mbunge wa jimbo la Mkanyageni, Habib Mnyaa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Mbunge wa Lindi mjini akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Tunausapoti Ukawa.....
Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Guninita akizungumza wakati wa kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Mgombea
Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimiana na mfuasi
wa Ukawa wakati alipowasili katika mkutano wa kampeni katika jimbo la
Mtama mkoani Lindi.
Wafuasi wa Ukawa wakishangilia.
No comments