Afisa Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania (Mbeya Cement), Catherine
Langreney na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Nyirembe Sabi wakikata utepe
kuzindua mradi wa maji uliojengwa na kampuni hiyo kwa ajili ya
kuwaondelea tatizo la uhaba wa maji safi na salama wananchi wa kijiji
cha Songwe Viwandani mkoani Mbeya katika hafla iliyofanyika kijijini
hapo mwishoni mwa wiki.
LAFARGE TANZANIA YAKABIDHI MRADI WA MAJI KWA KIJIJI CHA SONGWE VIWANDANI, MBEYA
Reviewed by Majuto Omary na Frank Balile
on
7:35 AM
Rating: 5
No comments