Header Ads

ad

Breaking News

Mwakalebela na Mweamoto wakipongezana leo mjini Dodoma

Mshindi wa kura za maoni jimbo la Iringa Mjini Frederick Mwakalebela ambae ni mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe ( kulia), akipongezana na mshindi wa kura za maoni Jimbo la Kilolo Venance Mwamoto jana katika viwanja vya makao makuu ya Ccm mjini Dodoma mwamoto ambae ni mkuu wa Wilaya ya Kaliuwa Tabora. (Picha na Francis Godwin)

No comments