MAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE MJINI DODOMA
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM, Mama Damia, akizungumza na wanawake wa mkoa wa Dodoma, leo
katika ukumbu uliopo jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini
Dodoma.
(picha na Bashir Nkoromo
Mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Dodoma,
Adam Kimbisa akifungua kikao cha Mama Samia na wanawake wa mkoa wa
Dodoma, katika ukumbi ulipo jengo la white House Makao Makuu ya CCM
mjini Dodoma leo.
Mama Tunu Pinda akizungumza kwenye kikao hicho, na Mama Samia na wanawake wa mkoani Dodoma leo
Wanawake wakimpokea Mama Samia ukumbini.
Wanawake wakimvisha vazi la heshima, ya wagogo, Mama Samia.
Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Dodoma, Fatuma Mwenda akimk.abidhi Mama Samia zawadi ya kitenge.
No comments