Header Ads

ad

Breaking News

MAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE MJINI DODOMA

 C1
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Damia, akizungumza na wanawake wa mkoa wa Dodoma, leo katika ukumbu uliopo jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
(picha na Bashir Nkoromo
unnamed7
Mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akifungua kikao cha Mama Samia na wanawake wa mkoa wa Dodoma, katika ukumbi ulipo jengo la white House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo.
88
Mama Tunu Pinda akizungumza kwenye kikao hicho, na Mama Samia na wanawake wa mkoani Dodoma leo
00
Wanawake wakimpokea Mama Samia ukumbini.
99
Wanawake wakimvisha vazi la heshima, ya wagogo, Mama Samia.
66
Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Dodoma, Fatuma Mwenda akimk.abidhi  Mama Samia  zawadi ya kitenge.

No comments