Header Ads

ad

Breaking News

MISS TEMEKE 2012 SI YA KUKOSA, HIZO TOTOZ USIPIME

Kuelekea shindano la Miss Temeke 2012, BIN ZUBEIRY jioni hii imetembelea kambi ya warembo katika ukumbi wa TCC Club, Chang’ombe na kuwakuta wakiendelea na mazoezi chini ya mwalimu wao Leila Bhanji, tayari kwa show hiyo inayoletwa kwenu na BMP Promotions, chini ya Mkurugenzi wake, Benny Kisaka ambayo itafanyika Ijumaa wiki hii kwenye ukumbi wa PTA. Cheki bakora hizo, ambazo leo zimetembelewa na Kamati ya Miss Tanzania.
Edna Sylvester (21)

Catherine Masumbigana (21)  

Jesca Haule (18)

Lilian Joseph (20)

Neema Doreen (20)

Zulfa Bundala (21)

Esther Albert (19)

Agness Goodluck (20)

Flaviana Maeda (22)


Elizabeth Peter (21)


Miriam Ntakisivya (21)


Miss Temeke namba 2 wa mwaka 2010, Cynthia Kimasha, akiwapa uzoefu washiriki wa Miss Temeke 2012


Elizabeth Bonigace (19) 


Mwalimu wao, Leilla Bhanji


Angel Gasper (19)
Warembo wakiwasikiliza viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania

Kutoka kulia Yasson Mashaka, Mjumbe Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye, Mkuu wa Itifaki na Hashim Lundenga, Mkurugenzi. Aneyefuatia ni Benny Kisaka, Mkurugenzi BMP na Hiddan Ricco, Ofisa Uhusiano wa Kamati ya Miss Tanzania

Kutoka kulia Cynthia Kimasha, Leilla Bhanji, Mwajabu Juma, Miss Temeke namba 3 mwaka jana na Joyce Maweda, Miss Chang'ombe namba 3 mwaka jana.

Wadau, kutoka kulia Mkama na Fred Ogot

Washiriki Miss Temeke 2012 wakiwasikiliza viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania

Washiriki wakiwasikiliza viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania
Warembo wakicheza shoo

Warembo wakicheza shoo. kwa msaada wa www.bongostaz.blogspot.com

No comments