Header Ads

ad

Breaking News

Mambo ya nyumbani yanapokolea

Balozi wa Zambia nchini Tanzania, Mavis Lengalenga (katikati) akicheza ngoma ya asili iliyokuwa ikipigwa na kikundi cha Sanaa cha Makanjani  kutoka nchini Zambia, wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam. Foto: sufianimafoto.blogspot.com
 Kikundi cha Sanaa cha Polisi Tanzania, kikitoa burudani wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam.

Kikundi cha Sanaa cha Makanjani kutoka nchi Zambia,  kikitoa burudani wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya  miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yalifanyika leo Septemba  14 katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam.

No comments