Header Ads

ad

Breaking News

Dkt.Nchimbi amnad mgombea ubunge, madiwani Jimbo la Kinondoni

Picha za matukio mbalimbali za Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia na kuwanadi baadhi ya Wagombea Ubunge wa mkoa wa Dar es Salaam, akiwemo mgombea ubunge wa Jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba pamoja na madiwani, kwenye mkutano wake wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Biafra, Oktoba 1, 2025.

Dkt. Nchimbi amehitimisha kampeni zake kwa mkoa wa Dar es Salaam akifikisha mkoa wa 15 tangu kuzinduliwa kwa kampeni hizo Agosti 28,2025 jijini Dar es Salaam na kuelekea mkoani Mtwara kusaka kura za ushindi wa kishindo kwa CCM.









No comments