Header Ads

ad

Breaking News

TAIFA STARS YAWASILI KUTOKA MISRI,YAISUBIRI KWA HAMU LESOTHO


Timu ya Taifa ya Tanzania Maarufu kama Taifa Stars wamewasili salama Tanzania mara baada ya kumaliza kambi yao ya maandalizi ya wiki moja huko nchini Misri. Stars Itashuka Jumamosi katika uwanja wa Chamazi kucheza na Lesotho.

No comments