Zoezi la uchaguzi wa Yanga, lipo katika hatua za mwishoni za
upigaji wa kura, baada ya Yussuf Mehoob Manji kukamilisha zoezi la wagombea
kujieleza katika kuomba kura kwa wanachama, ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee,
Dar es Salaam.
Hadi sasa upepo unaonyesha ‘Jeshi la Miamvuli’ litapeta.
Yussuf Manji (Mwenyekiti), Clement Sanga (Makamu Mwenyekiti) na Wajumbe Mussa
Katabaro, Lameck Nyambaya, Abdallah Bin Kleb na George Manyama.
BIN ZUBEIRY ameondoka Diamond Jubilee,
na sasa yupo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambako Simba inacheza na URA na
mpira umeanza. Lakini anaendelea kuwasiliana na Kamati ya Uchaguzi ya Yanga juu
ya matokeo. Hadi sasa Simba amekwishafungwa 1-0, Owen Kasuule dakika ya 11. Habari na picha kwa hisani ya Bin Zubeiry,
www.bongostaz.blogspot.com
 |
Nyambaya kulia, Manji katikati na sanga kushoto |
 |
Aaron Nyanda mgombea Ujumbe |
 |
Kamati ya Uchaguzi kazini |
 |
Mzee Akilimali akipiga kura |
 |
Isaac Chanji |
 |
Kifukwe na Mosha wakipiga kura |
 |
Mzee Jabir Katundu akipiga kura |
 |
Katundu anapiga kura |
 |
Akilimali anapiga kura |
 |
Wazee wanachukua karatasi za kura |
 |
Manji na Sanga |
 |
Jeshi la Miamvuli linakubalika kwa kila mtu, cheki jembe hapa anatoa peace |
 |
Jembe linapigwa muhuri baada ya kura lisije likafanya ujanja ujanja likarudia |
 |
Mzee Chabanga Hassan Dyamwale akimpiga muhuri mwanachama baada ya kupiga kura |
 |
Jeshi la Miamvuli; Katabaro, Bin Kleb na Manyama |
 |
Eric James Shigongo kumbe naye Yanga, siri imefichuka leo |
 |
Edgar Fongo kulia akiwa na Lawrence Mwalusako |
No comments