Monday, May 21, 2012

Flaviana aweka shada makaburi ya wahanga wa MV Bukoba


https://fbcdn-sphotos-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/536339_271136349651437_100002652237808_539133_692911028_n.jpg
Flaviana Matata akiweka shada kwenye kaburi isiyo na jina Igoma jijini Mwanza kama sehemu ya kumbukumbu ya watu waliopoteza maisha yao katika ajali ya MV Bukoba. Flaviana alimpoteza mama yake mzazi.
Pamoja na mambo mengine Flaviana Matata alikabidhi msaada wa maboya (life vests) 500 kwa Shirika la Meli la Taifa (Marine Services Co Ltd) kama sehemu ya kumbukumbu ya MV Bukoba – ambapo ni miaka 16 tokea meli hiyo ilizama na kuua watu takriban 1,000 akiwa pamoja na mama yake Flaviana
Picha kwa hisani ya Maria Sarungi.

No comments:

Post a Comment