Kibaigwa yarindima, wasema Oktoba 29 wanatiki, Dkt.Samia awaeleza malengo yake
Matukio mbalimbali katika mkutano wa kampeni za Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kata ya Kibaigwa, wilaya ya Kongwa, mkoa wa Dodoma, leo Agosti 30, 2025.
Wananchi wakifuatilia mkutano wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Samia Suluhu Hassan katika kata ya Kibaigwa, wilaya ya Kongwa, mkoa wa Dodoma, leo Agosti 30, 2025.
No comments