Wapatiwa mafunzo ya namna ya kutumia mfumo wa manunuzi wa NeST
Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Bunare Daniel, akiwafundisha wafanyakazi wa taasisi hiyo namna ya kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa Manunuzi ya Umma (NeST), wakati wa kikao cha wafanyakazi hao hivi karibuni katika ukumbi wa taasisi hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Bunare Daniel akimwelekeza kwa vitendo namna ya kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa Manunuzi ya Umma (NeST), Ofisa Uuguzi wa taasisi hiyo, Salma Wibonela, wakati wa kikao cha wafanyakazi hao hivi karibuni katika ukumbi wa taasisi hiyo.
No comments