NAIBU SPIKA TULIA ZIARANI WILAYA YA RUNGWE, AZINDUA JENGO LA MALIWATO YA WANAWAKE HOSPITALI YA WILAYA YA RUNGWE

Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, akipanda mti na Mwanafunzi wa
darasa la tano wa Shule ya Msingi Segera, Jackson Lusajo, wakati
alipotembelea shule hiyo kukabidhi Vifaa vya ukarabati wa shule hiyo
akiwa katika ziara yake Wilaya ya Rungwe jana Sept 20, 2017. Jumla ya
miti 160 ilipandwa katika shule hiyo ikiwa ni sehemu ya kutunza
mazingira. Picha zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO MEDIA)

Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, Mwenyekiti wa Halmashauri ya
Tukuyu, Ezekiel Manyemele, wakifunua kitambaa kuzindua Jengo la Choo cha
wanawake katika Hospitali ya Makandana Wilayani Rungwe, jana Sept 20,
2017. Jengo hilo la Choo limegharimu zaidi ya Sh. milioni 50.


Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, akipanda mti na Mwanafunzi wa
darasa la Sita wa Shule ya Msingi Segera, Tunza Fred, wakati
alipotembelea shule hiyo kukabidhi Vifaa vya ukarabati wa shule hiyo
akiwa katika ziara yake Wilaya ya Rungwe jana Sept 20, 2017. Jumla ya
miti 160 ilipandwa katika shule hiyo ikiwa ni sehemu ya kutunza
mazingira.


Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, akiangalia tofali, wakati
alipotembelea shule ya Msingi Segera kukabidhi Vifaa vya ukarabati wa
shule hiyo akiwa katika ziara yake Wilaya ya Rungwe.

Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson, akimkabidhi tofali, Mwalimu
Mkuu wa Shule ya Msingi Segera, Fred Mfwea (wa pili kulia) na Diwani wa
Kata ya Segera (katikati) wakati alipotembelea shuleni hapo kukabidhi
Vifaa vya ukarabati wa shule hiyo akiwa katika ziara yake Wilaya ya
Rungwe.



Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson, akicheza muziki 'Ndiyo Maana
Tenzele' wa asili wa kabila la Wasafa na Mwenyekiti wa Kijiji cha
Unyamwange, Julius Pascal, wakati alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya
akiangalisha fedha kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya
Isongole jana.

Picha ya pamoja na wafanyakazi wa Hospitali ya Makandana

Akikagua jengo hilo ndani



Akizungumza na kina mama wa Rungwe

Akisalimiana na mwanafunzi Tunza.

Mwanafunzi akimwagilia mti baada ya kupanda

Dk. Tulia akikagua madarasa ya shule ya Segera

Mwalimu mkuu wa shule hiyo akizungumza

Vijana wa Taasisi ya Tulia Trust

Walimu na wanachi wa shule hiyo wakisikiliza hotuba ya Dk. Tulia.


Dk. Tulia akizungumza

Dk.
Tulia akipokea mchango wa fedha sh. 300,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa
Patrick Mission High School, Ndele Mwaselela, pia alitoa ahadi ya
kuchangia bando 10 za mabati kwa shule hiyo.

Akitoa zawadi ya hela kwa wanafunzi wa shule hiyo kwa ajili ya sukari

Dk. Tulia akikabidhi fedha hizo kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo

Dkt.
Tulia akipokea zawadi ya kuku kutoka kwa mwalimu wa shule hiyo,
Caroline Kilongo. Picha zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO MEDIA)
No comments