Header Ads

ad

Breaking News

Manchester klabu tajiri zaidi duniani

Manchester united timu yenye thamani kubwa duniani

Klabu ya Manchester United imetajwa kuwa ndio timu yenye thamani kubwa duniani kwa mujibu wa jarida la habari za biashara la Forbes.


United inathamani ya kiasi cha pauni billion 2.86 hii ni mara ya kwanza kwa Man United kuongoza listi hiyo katika miaka mitano.

Barcelona wako katika nafasi ya pili wakiwa na thamani ya pauni bilioni 2.82, mabingwa wa Ulaya Real Madrid wako nafasi ya tatu wakiwa na thamani ya pauni bilioni 2.77.

Timu zinazofuata kwa thamani duniani
4) Bayern Munich - $2.71bn (£2.10bn)
5) Manchester City - $2.08bn (£1.61bn)
6) Arsenal - $1.93bn (£1.50bn)
7) Chelsea - $1.85bn (£1.43bn)
8) Liverpool - $1.49bn (£1.15bn)
9) Juventus - $1.26bn (£980m)                                                                    BBC
10) Tottenham - $1.06bn (£820m)

No comments