Header Ads

ad

Breaking News

KIKAO CHA 42, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JUNI 06, 2017

unnamed
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson akiongoza kikao cha 42 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 06, 2017.


mavunde
Naibu Waziri Ofisiya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira, Anthony Mavunde akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
mhagama
Waziri  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akitolea ufafanuzi hoja mbalimbali za wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leo, Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
nchemb
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
kigwa
Naibu Waziri waAfya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Khamis Kigwangalla akijibu maswali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo mjini Dodoma Juni 6, 2017.
ngoy
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo, mjini Dodoma Juni 6, 2017.
mwaki
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe akijibu maswali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Juni 6, 2017.
mwaij
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
jafu
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Selemani Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo mjini Dodoma Juni 6, 2017.
a
MbungewaTemeke (CUF), Abdallah Mtolea katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo mjini Dodoma June 6, 2017.
PIX 14 MHE NGONYANI JAQUILINE
Mbungewa Viti Maalum (CCM) , Jaquiline Ngonyani akiuliza swali katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto akiuliza swali katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo mjini Dodoma Juni 6, 2017.
wana
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Southern Highland kutoka Iringa wakiwa Bungeni kujifunza shughuli mbalimbali katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
PIX 15 KANDEGE
MbungewaKalambo (CCM), .Josephat Kandege akiuliza swali katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo, mjini Dodoma Juni 6, 2017.
PIX 16 TWEVE
MbungewaViti Maalum (CCM), .RoseTweve akiuliza swali katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Juni 6, 2017.
maka vs mwf
Waziri wa Mambo yaNdaniMhe.Mwigulu Nchemba akizungumza jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo mjini Dodoma Juni 6, 2017.
(Picha zote na Daudi Manongi, MAELEZO, Dodoma).

No comments