Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili
kushoto), alipokuwa akiangalia jengo la ZSTC Mkoani Pemba lililoanguka ukuta
kutokana na kuangukiwa na mti baada ya mvua kubwa za masika zilizonyesha hivi
karibuni na kusababisha uharibifu mkubwa alipofanya ziara maalum leo (kushoto)
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Mhe,Amina Salum Ali. (PICHA ZOTE NA IKULU) |
No comments