Rais Kikwete apokea ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi
Mjumbe maalum wa Waziri Mkuu wa
India Narendra Modi ambaye pia ni Waziri wa nchi anayeshughulikia
Maendeleo ya Ujasiriamali Mhe.Shri Rajiv Pratap Rudy akiwasilisha kwa
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete barua yenye ujumbe kutoka kwa kiongozi
huyo wa India ikulu jijini Dar es Salaam Septemba 8, 2015 .
Rais Dkt.Jakaya Mrisjo Kikwete
akisoma barua yenye ujumbe kutoka kwa waziri Mkuu wa India mara baada ya
kukabidhiwa ikulu jijini dar es Salaam Septemba 8, 2015
(Picha na Freddy Maro)
No comments