KULIOMBEA TAIFA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU YA KAMILIKA LITAFANYIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, OKTOBA 4, 2015
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotion ambayo inaandaa matamasha
mbalimbali kama lile la Pasaka na Chrismas , ambaye ni Mwenyekiti wa
Tamasha hilo, Alex Msama, akisisitiza jambo wakati akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu
kukamilika kwa maandalizi ya Tamasha la kuliombea Taifa Amani kuelekea
uchaguzi mkuu ambalo litafanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam na baadaye mikoa mingine 12.
Hapa mkutano na wanahabari ukiendelea.
Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
Mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka nchini Afrika Kusini, Solly Mahlangu, amethibitisha
kutumbuiza katika tamasha la kuombe amani linalotarajiwa kufanyika Oktoba 4 katika uwanja wa Taifa
jiji Dar es Salaam.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotion ambayo inayoandaa matamasha mbalimbali kama lile la Pasaka na Chrismas , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tamasha hilo kutoka kampuni hiyo, Alex Msama wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha hilo sambamba na kutaja majina ya waimbaji wa nyimbo za injili wa ndani na nje ya nchi, wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo linalolenga kuombea nchi amani hususani uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba 25 mwaka huu.
Na Dotto Mwaibale
Mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka nchini Afrika Kusini, Solly Mahlangu, amethibitisha
kutumbuiza katika tamasha la kuombe amani linalotarajiwa kufanyika Oktoba 4 katika uwanja wa Taifa
jiji Dar es Salaam.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotion ambayo inayoandaa matamasha mbalimbali kama lile la Pasaka na Chrismas , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tamasha hilo kutoka kampuni hiyo, Alex Msama wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha hilo sambamba na kutaja majina ya waimbaji wa nyimbo za injili wa ndani na nje ya nchi, wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo linalolenga kuombea nchi amani hususani uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba 25 mwaka huu.
No comments