Header Ads

ad

Breaking News

SOFAPAKA YAICHAPA SIMBA 3-0

 Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher akitafuta mbinu za kumtoka beki  wa Sofapaka ya Kenya , Anthony Kimani katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Sofapaka ilishinda 3-0. (Picha na Dande Junior). www.francisdande.blogspot.com
Kikosi cha Simba

No comments