Header Ads

ad

Breaking News

MKOA WA RUVUMA WAPOKEA MWENGE WA UHURU LEO

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Severin Tossi(kushoto) akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Njombe John Mahali .Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo mkoani Ruvuma katika kijiji cha Ngelenge wilaya ya Ludewa kabla haujaanza mbio zake mkoani Ruvuma
 (Picha na Muhidin Amri Nyasa= Songea)

No comments