Header Ads

ad

Breaking News

Waziri wa Elimu ashiriki upimaji afya ulioandliwa na AAR

Waziri wa Elimu, Sayansi, Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako (kushoto, akipima afya kwenye huduma iliyoandaliwa na Kampuni ya Bima ya Afya ya AAR iliyofanyika katika ukumbi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), mkoani Arusha. Kulia ni nesi wa AAR Health Care, Nancy Omari.

Mmoja wa wafanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) akipima afya kwenye huduma iliyoandaliwa na kampuni ya bima ya afya AAR, iliyofanyika katika ukumbi wa jumuiya ya Afrika Mashariki mkoani Arusha. Kulia ni mtaalamu wa maabara Gilbert Ngaramu. (NA MPIGA PICHA WETU)

No comments