Header Ads

ad

Breaking News

STEVE NYERERE AGAWA MSAADA KWA WATOTO YATIMA MAUNGA KINONDONI



Steven Mengele 'Steve Nyerere' kushoto akimkabidhi chandarua mtoto ali Husein  wakati alipokwenda kutoa misaada mbalimbali na kufanya utambulisho wa filamu yake mpya ya Nyerere
Msanii Steven Mengele katikati akiwa na Ofisa wa Kampuni ya Steps Pritesh Chavda na Mwandishi wa habari wa kituo cha EATV wakati alipokwenda kutembelea kituo cha watoto yatima cha Maunga kilichopo Kinondoni na kutoa Zawadi ya vyakula mbalimbali kwa ajili ya uzinduzi wake wa filamu ya 'Nyerere' leo
Steven Mengele 'Steve Nyerere' kushoto akimkabizi  maharage kwa mama mlezi wa kituo cha Maunga kilichopo Kinondoni Dar es salaam Bi. Zainabu Bakari alipokwenda kutoa misaada ya vyakula na vitu mbalimbali leo
Steven Mengele 'Steve Nyerere' akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kwa ajili ya kutambulisha filamu yake ya Nyerere

No comments