Header Ads

ad

Breaking News

REAL MADRID, BARCELONA KASI NI ILE ILE LIGI KUU HISPANIA


Wachezaji wa Real Madrid wakipongezana baada ya kupata bao dhidi ya Deportivo la Coruna usiku wa kuamkia leo kwenye Uwanja wa Estadio Municipal de Riazor. Real Madrid ilishinda mabao 6-1.
Real Madrid were set on their way to victory over Deportivo La Coruna when Alvaro Morata scored after just 53 seconds
Alvaro Morata akiifungia Real Madrid bao dhidi ya  Deportivo La Coruna katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Estadio Municipal de Riazor usiku wa kuamkia leo. Real Madrid ilishinda mabao 6-1.
James Rodriguez started as Real's team featured nine changes from the Clasico defeat, and he took advantage with a goal
James Rodriguez wa Real aliifungia timu yake bao la pili.
Lucas Vazquez made it 3-1 just before half time to move Real back level on points with La Liga leaders Barcelona
Lucas Vazquez aliiongezea timu yake ya Real Madrid bao la tatu katika mchezo huo wa Ligi Kuu Hispania dhidi ya Deportivo La Coruna usiku wa kuamkia leo. Real Madrid iliibuka na ushindi wa mabao 6-1. 
James tucked home his second midway through the second half as Real ran away with the game against the strugglers
James Rodriquez akifunga bao dhidi ya katika mechi dhidi ya Deportive la Coruna usiku wa kuamkia leo.

Real Madrid waliocheza bila nyota wao, Cristiano Ronaldo, ilifanikiwa kuzikitisa nyavu za wapinzani wao wakiwa nyumbani kwa idadi kubwa ya mabao 6-1.
James Rodrigues alifunga mabao mawili, Alvaro Morata, Lucas Vazquez, Isco na Casemiro kila mmoja aliipatia timu yake bao moja na kuwahakikishia mashabiki wao waliosafiri na timu furaha wakati wote wakiwa ugenini.
Deportivo ilijipatia mabao mawili kupitia Florin Andone na Joselu, lakini hayakuwasaidia kubakiza pointi tatu katika uwanja wao wa nyumbani wa Estadiop Municipal de Riazor.
Osasuna briefly had hope of an unlikely comeback when Roberto Torres curled a free kick past Marc Andre ter Stegen
Roberto Torres aliifungia bao Osasuna kwa mkwaju wa adhabu. 
Gomes put to bed any suggestion of a comeback with a calm finish for his second of the night, wrong footing Sirigu
Gomes akishangilia bao lake.

Messi got his second of the night with a powerful left footed drive from 20 yards - and was promptly substituted
Messi akishangilia moja ya mabao aliyofunga usiku wa kuamkia leo kwa shuti kali la umbali wa meta 20.
With Messi off the pitch Paco Alcacer took over the scoring, holding off the challenge of Oier Sanjurjo to make the score 5-1
Paco Alcacer aliyeingia kuchukua nafasi ya Messi akimtoka beki wa Osasuna Oier Sanjurjo na kuifungia timu yake bao la tano.

Javier Mascherano scored his first Barcelona goal, after seven years at the club, when he smashed in a penalty
Javier Mascherano alifunga bao lake la kwanza akiitumikia Barcelona, baada ya miaka saba akiwa na klabu hiyo kwa mkwaju wa penalti.

Alcacer rounded Sirigu with five minutes to play to add yet another coat of gloss to the scoreline in what had become a rout
Alcacer wa Barcelona akimpita kipa Sirigu na kufunga bao la tano.
Barcelona wao waliifunga Osasuna mabao 7-1, mechi iliyowapa aibu kubwa wachezaji wa kikosi hicho cha Osasuna iliyopigwa Uwanja wa Camp Nou mini Barcelona.
Bao la kwanza la Barcelona lilifungwa na Lionel Messi dakika ya 12, Andre Gomes akaiongezea timu yake bao pili, kabla ya Roberto Torres kuifungia Osasuna bao dakika ya 48.
Vao la tatu la Brca liliwekwa kambani ni Gomes dakika ya 57, dakika ya 61, Messi alifunga la nne, Francisco Alcacer aliiongezea timu yake bao la tano, kabla ya Javier Mascherano kufunga bao la sita dakika ya 67 na Alcacer kuiongezea bao la saba.

No comments