



Nyota wa timu ya Taifa ya England, Rahim Sterlingakimpiga chenga kipa wa West Ham,Adrian na kuukwamisha mpira wavuni.

Rahim Sterling, akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya Manchester United bao katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa leo kwenye uwanja wa Etihad.

Mchezaji wa West Ham, Michail Antonio akiwa ameruka juu na kufanikiwa kuisawazishia timu yake bao, katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Etihad, Manchester.

Antonio akishangilia baada ya kuifungia bao timu yake ya West Ham United dhidi ya Man City leo.
Timu yake ilichapwa mabao 3-1.
No comments:
Post a Comment