Sunday, August 28, 2016

Manchester City yaichapa West Ham 3-1

Manchester City beat West Ham 3-1 at the Etihad Stadium to continue their perfect start to the season
Raheem Sterling gave his side the lead on seven minutes with a controlled close-range finish 
Midfielder Fernandinho doubled City's lead with less than 20 minutes gone after heading in a Kevin de Bruyne set piece
The England international then sealed all three points for his side with a delightful goal in stoppage time
Nyota wa timu ya Taifa ya England, Rahim Sterlingakimpiga chenga kipa wa West Ham,Adrian na kuukwamisha mpira wavuni.
Sterling, who has hit the ground running under Pep Guardiola, was the beneficiary of some great play from winger Nolito
Rahim Sterling, akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya Manchester United bao katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa leo kwenye uwanja wa Etihad.
West Ham did improve after the break and managed to pull a goal back thanks to a header from Michail Antonio
Mchezaji wa West Ham, Michail Antonio akiwa ameruka juu na kufanikiwa kuisawazishia timu yake bao, katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Etihad, Manchester.
Antonio started the game at right-back but was pushed further forward in the second half and made a swift impact
Antonio akishangilia baada ya kuifungia bao timu yake ya West Ham United dhidi ya Man City leo.
Timu yake ilichapwa mabao 3-1.

No comments:

Post a Comment