Header Ads

ad

Breaking News

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akimpokea Mfalme wa Lesotho,  Mhe. Letsie III (kulia) alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA).  Mfalme Letsie ambaye pia ni Kiongozi wa kuhamasisha masuala ya Chakula na Lishe wa Umoja wa Afrika yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Dunia kuhusu umuhimu wa kuongeza Virutubisho kwenye Chakula. Mkutano huo unafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 09 hadi 11 Septemba, 2015.
Waziri Mkuu Mhe. Pinda (katikati) akimtambulisha Mkurugenzi wa TANAPA Dkt. Allan Kijazi (wa kwanza kulia) kwa Mfalme Letsie (wa kwanza kushoto).
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa kwanza kulia) akimtambulisha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu CCM Arusha Mhe. Catherine Magige (wa pili kutoka kushoto) kwa Mfalme Letsie (wa pili kutoka kulia).
Mfalme Letsie akiwapingia Mkono moja ya vikundi vya ngoma vulivyokuwepo uwanjani hapo

No comments