 |
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda (kulia)
akimpokea Mfalme wa Lesotho, Mhe. Letsie III (kulia) alipowasili katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Mfalme Letsie
ambaye pia ni Kiongozi wa kuhamasisha masuala ya Chakula na Lishe wa
Umoja wa Afrika yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa
Dunia kuhusu umuhimu wa kuongeza Virutubisho kwenye Chakula. Mkutano huo
unafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 09 hadi 11 Septemba, 2015. |
 |
Waziri
Mkuu Mhe. Pinda (katikati) akimtambulisha Mkurugenzi wa TANAPA Dkt.
Allan Kijazi (wa kwanza kulia) kwa Mfalme Letsie (wa kwanza kushoto). |
Waziri
Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa kwanza kulia) akimtambulisha aliyekuwa
Mbunge wa Viti Maalumu CCM Arusha Mhe. Catherine Magige (wa pili kutoka
kushoto) kwa Mfalme Letsie (wa pili kutoka kulia).
 |
Mfalme Letsie akiwapingia Mkono moja ya vikundi vya ngoma vulivyokuwepo uwanjani hapo |
No comments