MAMA SAMIA MKOANI RUVUMA
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika mkutano wa kampeni
aliofanya eneo la Magazini, jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma jana.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi kwenye
mkutano wa kampeni aliofanya leo, eneo la Magazini, Jimbo la Namtumbo
mkoani Ruvuma.
Mgombea Ubunge jimbo la Mbinga
mjini, Sixtus Mapunda ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa
CCM, akigutubia kwenye mkutano wa Mama Sania uluofanyika leo, eneo la
Nalasi jimbo la Tunduru Kusini mkoani Ruvuma jana.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM Mama Samaia Suluhu Hassani akizungumza na kijana Lucas
Luchinga, mwenye ulemavu aliyemkuta enoel la Njenga, Jimbo la Namtumbo
mkoani Ruvuma,jana.
(Picha zote na Bashir Nkoromo)
No comments