WAFUGAJI NYUKI WAKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wafugaji wa nyuki kutoka
Pemba na Rufiji waliomtembelea nyumbani kwake Dodoma kwa ziara ya
kujifunza ufugaji nyuki iliyodhminiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii
(TASAF), May 15,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wafugaji
nyuki kutoka Pemba na Rufiji waliotembelea shamba lake la nyuki ili
kujifunza May 15, 2012. Kushoto kwake ni Ladislaus Mamanga ambaye ni
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ambao ulidhamini
safari hiyo na kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba ,
Juma Kassim Tindwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments