Header Ads

ad

Breaking News

Mbio za Mwenge wa Uhuru wilaya ya Mbinga

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Kapteni Honest Mwanossa akichanganya mchanga ili kuweka jiwe la msingi la jengo la ofisi ya mkuu wa wilaya ya Mbinga hivi leo.
 
Kaimu Katibu Tawala wa wilaya ya Nyasa Bi Happy Msanga (kushoto) akikabidhi Mwenge wa uhuru kwa Kaimu Katibu Tawala wilaya ya Mbinga Bw.Iddi Mponda baada ya kumaliza mbio zake katika wilaya ya Nyasa.Tukio hili limefanyika leo katika kijiji cha Chunya wilaya ya Mbinga

No comments