Header Ads

ad

Breaking News

Twiga Stars yachapwa Ethiopia


TIMU ya soka ya Twaga Stars, jana ilikubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Ethiopia, katika fainali za kuwania kufuzu michuano ya Afrika.

Bao hilo la Twiga Stars lilifungwa na Fatuma Mustafa, hivyo kujiongezea matumaini ya kusonga mbele ikiwa mchezo wa marudiano watashinda.

Mechi ya marudiano imepangwa kufanyika Juni 16, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Twiga Stars, ianataajiwa kuwasili nchini kesho ikitokea Ethiopia,  ambapo itaingia kambi kujiwinda na mchezo wa marudiano.

Twiga Stars, ikiwa watashinda mchezo mwa marudiano, watakuwa wamefuzu fainali hizo zitakazochezwa nchini Equatorial Guinea mwakani.

No comments